Hatma ya kinyang’anyiro cha kumsaka nyota wa bongo katika wasanii wanaochipukia Bongo Star Search, limekamilisha na mwanadada Misoji Nkwabi amesimikwa rasmi ushindi huo baada ya kuwazidi washiriki wengine watano amabo alikutana nao kwenye fainali hizo.

Licha ya kupewa Fedha Misoji alijinyakulia simu kutoka kampuni ya LG, Sofa seti toka the Living Room, TV, Gomputer, nafasi ya kusoma chuo cha uandishi wa Habari Times, ngazi ya Diploma pamoja na zawadi nyingine kem kem.

0 comments